Tukija upande wa pili, ina maana diamond wanawake wote wa bongo ni ****** kiasi hicho mpaka uende ng'ambo?? Sitaki kuamini ujue, mi roho inaniuma ujue?? Mjengo wote ule umeenda kwa waganda? Maana mama teeh hataki ujinga Yule na hacheki ovyo na watu, hata kuja kwako mashabiki tutashindwa ujue maana mwanamke hana ushoga wala ujirani na mtu khaaa ,kama Salome tu alisahau hereni wakati mkifanya shooting kaumbuliwa vile hadharani haya sie majirani ya madale tukija tukasahau viatu si ndo vitatangazwa snapchat nzima?? Waah hapana kwa kweli
Saturday, September 24, 2016
Diamond Hongera Kwa Kumpata Zari Lakini Nina Duku Duku
Tukija upande wa pili, ina maana diamond wanawake wote wa bongo ni ****** kiasi hicho mpaka uende ng'ambo?? Sitaki kuamini ujue, mi roho inaniuma ujue?? Mjengo wote ule umeenda kwa waganda? Maana mama teeh hataki ujinga Yule na hacheki ovyo na watu, hata kuja kwako mashabiki tutashindwa ujue maana mwanamke hana ushoga wala ujirani na mtu khaaa ,kama Salome tu alisahau hereni wakati mkifanya shooting kaumbuliwa vile hadharani haya sie majirani ya madale tukija tukasahau viatu si ndo vitatangazwa snapchat nzima?? Waah hapana kwa kweli
Artikel Terkait
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

EmoticonEmoticon