“Watu ambao nimewasaidia wananipa heshima ni wawili tu, wengine wanaishia kuniita braza D tu, lakini Diamond Platnumz, Mr Blue pamoja na Queen Darlin ndiyo wananipa ile heshima kabisa na wanauchungu na mimi kwamba huyu kaka yetu kwa hiyo katika wale watoto ambao nimewatoa kwenye muziki wakiwa wadogo na wananisaidia ni hao watatu” alisema Dully Skyes
Sunday, September 25, 2016
Diamond na Mr Blue Wananibeba – Dully Sykes
“Watu ambao nimewasaidia wananipa heshima ni wawili tu, wengine wanaishia kuniita braza D tu, lakini Diamond Platnumz, Mr Blue pamoja na Queen Darlin ndiyo wananipa ile heshima kabisa na wanauchungu na mimi kwamba huyu kaka yetu kwa hiyo katika wale watoto ambao nimewatoa kwenye muziki wakiwa wadogo na wananisaidia ni hao watatu” alisema Dully Skyes
Artikel Terkait
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

EmoticonEmoticon