Saturday, October 1, 2016

Waumini wasusia misa ya papa Georgia

Tags

 
 
Papa Francis ambaye anafanya ziara yake nchini Georgia ameongoza ibada ya misa ambayo ilihudhuriwa na watu wachache mno, baada ya viongozi wa kanisa la Orthodox kuwataka waumini wao kutoshiriki katika ibada ya wakatoliki.
Ujumbe kutoka kanisa hilo la Orthodox ulitarajiwa kuhudhuria ibada hiyo, japo hawakuhudhuria.
Wakati papa francis aliwasili nchini Georgia alilakiwa na waandamanaji wachache wa kanisa la Orthodox, waliokuwa wakiituhumu Vatican kuwa mnyanyasaji wa kidini.
 
Watch full video Down crick watch video or download Video for free and start watch full video now HD video play Watch full video Down crick watch video or download Video for free and start watch full video now HD video play


EmoticonEmoticon