Naheshimu muziki wa GK lakini kwa nlichomsikia anasema ni wazi kua
atakwama...umepotea kwenye anga ya muziki then unarudi halafu unasema
kua hufanyi show chini ya milioni 30. Dah aisee...Diamond, Rayvany,
Harmonize, Navykenzo, Alikiba Wasemeje? na wakali wengine wanaotingisha
katika anga ya muziki redioni kwa sasa?
Duh! Mwana umechemka hapa. Swali ni kua are you worth 30 million kaka mkubwa ?? katika zama hizi ?
Angali video hii kwa umakini kabisa bonyeza ilo bango chini kisha subir dakika 1 video itatokea utaiona yote kisha itafutika hapo hapo
EmoticonEmoticon